sw_tn/act/13/42.md

665 B

Paulo na Barnaba walipoondoka

"Wakati Paulo na Barnaba walipokuwa wakiondoka"

wakawaomba waongee

"Wakawaomba"

Maneno yale yale

"Maneno ambayo Paulo alikuwa ameyatamka kwenye hotuba yake"

Wakati mkutano wa sinagogi ulipokwisha

Inaweza kuwa; 1) Wakati Paulo na Barnaba walipoondoka mstari 42: au 2) Paulo na Barinaba waliopouacha mkutano kabla ya kuhitimisha.

Wongofu

"Hawa walikuwa si Wayahudi ambao hawakufuata utamaduni wa Kiyahudi"

waliongea nao na waliwahimiza

"Na Paulo na Barnaba walinena nao hao na kuwasihi"

waendelee katika neema ya Mungu.

"Waendelee kumtumaini Mungu ambaye husamehe dhambi kwasababu ya kile Yesu alifanya kwao"