forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
665 B
Markdown
29 lines
665 B
Markdown
|
# Paulo na Barnaba walipoondoka
|
||
|
|
||
|
"Wakati Paulo na Barnaba walipokuwa wakiondoka"
|
||
|
|
||
|
# wakawaomba waongee
|
||
|
|
||
|
"Wakawaomba"
|
||
|
|
||
|
# Maneno yale yale
|
||
|
|
||
|
"Maneno ambayo Paulo alikuwa ameyatamka kwenye hotuba yake"
|
||
|
|
||
|
# Wakati mkutano wa sinagogi ulipokwisha
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwa; 1) Wakati Paulo na Barnaba walipoondoka mstari 42: au 2) Paulo na Barinaba waliopouacha mkutano kabla ya kuhitimisha.
|
||
|
|
||
|
# Wongofu
|
||
|
|
||
|
"Hawa walikuwa si Wayahudi ambao hawakufuata utamaduni wa Kiyahudi"
|
||
|
|
||
|
# waliongea nao na waliwahimiza
|
||
|
|
||
|
"Na Paulo na Barnaba walinena nao hao na kuwasihi"
|
||
|
|
||
|
# waendelee katika neema ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
"Waendelee kumtumaini Mungu ambaye husamehe dhambi kwasababu ya kile Yesu alifanya kwao"
|
||
|
|