forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
826 B
Markdown
41 lines
826 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Paulo anamalizia majadiliano na Elima.
|
|
|
|
# mkono wa Bwana upo juu yako
|
|
|
|
Neno "mkono" unawakilisha nguvu za Mungu na neno "juu yako" linamaanisha adhabu . "Mungu atakuadhibu"
|
|
|
|
# utakuwa kipofu.
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa kuwa; "Mungu atakufanya kipofu"
|
|
|
|
# Hautaliona Jua
|
|
|
|
Elima atakuwa kipofu kabisa kwamba hataweza kuliona jua.
|
|
|
|
# kwa muda
|
|
|
|
"Kwa kipindi fulani" au "Mpaka muda wa Mungu aliouamru"
|
|
|
|
# mara moja ukungu na giza vilianguka juu ya Elimas
|
|
|
|
"Macho ya Elima yakapata ukungu na giza" au "Elima uoni ulikuwa hafifu na kisha hakuweza kuona kabisa"
|
|
|
|
# alianza kuzunguka pale
|
|
|
|
"Elima alianza kutangatanga"
|
|
|
|
# Liwali
|
|
|
|
Huyu alikuwa ni mtumishi wa serikali katika jimbo la Rumi.
|
|
|
|
# Aliamini
|
|
|
|
"Alimwamini Yesu"
|
|
|
|
# alishangazwa kwa mafundisho kuhusu Bwana.
|
|
|
|
"Mafundisho kuhusu Bwana Yesu yalimshangaza mno"
|
|
|