sw_tn/act/11/intro.md

706 B

Matendo 11 Maelezo kwa Ujumla

Dhana Maalum katika sura hii

"Watu wa mataifa pia walipokea neno la Mungu"

Karibu waumini wote wa kwanza walikuwa Wayahudi. Luka anaandika katika sura hii kwamba watu wengi wa mataifa walianza kumwamini Yesu. Waliamini kwamba habari ya Yesu ilikuwa habari ya kweli, vile wakaanza "kulippokea neno la Yesu." Baadhi ya waumini katika Yerusalemu hawakuamini kwamba watu wa Mataifa pia wangekuwa wafuasi halisi wa Yesu. Kwa hivyo Petero alienda akawaambia kilichokuwa kimemtendekea na jinsi alivyowaona watu wa mataifa wakilipokea neno la mungu na kupokea Roho Mtakatifu.

<< | >>