sw_tn/act/11/01.md

889 B

Sentensi unganishi

Petro anaingia Yerusalemu na anaanza kuongea na Wayahudi wa huko.

Maelezo ya jumla

Huu ni mwanzo wa tukio jipya katika simlizi

Sasa

Linaashiria sehemu mpya ya simlizi

Ndugu

"Ndugu" Linamaanisha waumini katika Yudea.

waliokuwa Yudea

"Waliokuwa wakiishi mkoa wa Yudea"

Walikuwa wamelipokea neno la Mungu

Linamaanisha kuwa Wamataifa walikuwa wameupokea ujumbe wa Injili kuhusu Yesu. "Waliamini ujumbe wa Mungu kuhusu Yesu Kristo".

Walikuwa wamepanda kwenda Yerusalemu

Yerusalemu ilikuwa juu zaidi ya kila eneo la Israeli. hivyo ilikuwa kawaida kwa Waisraeli kusema wanapanda juu kwenda Yerusalemu.

lile kundi la watu waliotahiriwa

Wayahudi walioamini kwamba kila anayeamini lazina atahiriwe.

watu wasiotahiriwa

Linamaanisha, "watu wa Mataifa"

Alikula pamoja nao

Ilikuwa kinyume kwa utamaduni wa Wayahudi, Wauahudi kula na Wamataifa.