forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
889 B
Markdown
41 lines
889 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Petro anaingia Yerusalemu na anaanza kuongea na Wayahudi wa huko.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwanzo wa tukio jipya katika simlizi
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Linaashiria sehemu mpya ya simlizi
|
||
|
|
||
|
# Ndugu
|
||
|
|
||
|
"Ndugu" Linamaanisha waumini katika Yudea.
|
||
|
|
||
|
# waliokuwa Yudea
|
||
|
|
||
|
"Waliokuwa wakiishi mkoa wa Yudea"
|
||
|
|
||
|
# Walikuwa wamelipokea neno la Mungu
|
||
|
|
||
|
Linamaanisha kuwa Wamataifa walikuwa wameupokea ujumbe wa Injili kuhusu Yesu. "Waliamini ujumbe wa Mungu kuhusu Yesu Kristo".
|
||
|
|
||
|
# Walikuwa wamepanda kwenda Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
Yerusalemu ilikuwa juu zaidi ya kila eneo la Israeli. hivyo ilikuwa kawaida kwa Waisraeli kusema wanapanda juu kwenda Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# lile kundi la watu waliotahiriwa
|
||
|
|
||
|
Wayahudi walioamini kwamba kila anayeamini lazina atahiriwe.
|
||
|
|
||
|
# watu wasiotahiriwa
|
||
|
|
||
|
Linamaanisha, "watu wa Mataifa"
|
||
|
|
||
|
# Alikula pamoja nao
|
||
|
|
||
|
Ilikuwa kinyume kwa utamaduni wa Wayahudi, Wauahudi kula na Wamataifa.
|
||
|
|