sw_tn/act/11/29.md

413 B

Maelezo ya Jumla

Sura hii wanaotajwa ni waumini wa kanisa huko Antiokia

Kwa hiyo

Neno linaloelezea kuwa jambo lililotokea kwasababu ya kitu kingine pia

kila mmoja alivyo fanikiwa,

atu matajiri walituma misaada zaidi, na wale masikini walituma kwa kiasi chao.

kwa ndugu walioko Uyahudi

"Kwa wakristo waliokuwa huko Yudea"

kwa mkono wa Barnaba na Sauli.

"Chini ya usimamizi wa Barnaba na Sauli"