forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
758 B
Markdown
21 lines
758 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Huu ni mwisho wa sehemu ya simlizi kuhusu Kornerio.
|
|
|
|
# wamataifa wanaongea kwa lugha zingine na kumwabudu Mungu
|
|
|
|
Zilijulikana kuwa ni lugha zilizokuwa zinatamkwa na waliojazwa na Roho Mtakatifu, kilichofanya Wayahudi kukubali kwamba wamataifa nao walikuwa wakimtukuza Mungu.
|
|
|
|
# Kuna mtu yeyote anaweza kuzuia maji ili watu wasibatizwe, Watu hawa wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi?
|
|
|
|
Petro alilitumia swali hili kuwashawishi Wayahudi wakristo kwamba Wamataifa walioamini wanaweza kubatizwa.
|
|
|
|
# Ndipo akawaamuru wabatizwe
|
|
|
|
Inamaanisha kwamba Wayahudi wakristo ndio waliowabatiza Wamataifa siku hiyo.
|
|
|
|
# wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo
|
|
|
|
"Kwa Jina la Yesu Kristo" Linaelezea kuwa sababu ya kubatizwa kwao ni kwa kumwamini Yesu Kristo.
|
|
|