sw_tn/act/10/46.md

758 B

Sentensi unganishi

Huu ni mwisho wa sehemu ya simlizi kuhusu Kornerio.

wamataifa wanaongea kwa lugha zingine na kumwabudu Mungu

Zilijulikana kuwa ni lugha zilizokuwa zinatamkwa na waliojazwa na Roho Mtakatifu, kilichofanya Wayahudi kukubali kwamba wamataifa nao walikuwa wakimtukuza Mungu.

Kuna mtu yeyote anaweza kuzuia maji ili watu wasibatizwe, Watu hawa wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi?

Petro alilitumia swali hili kuwashawishi Wayahudi wakristo kwamba Wamataifa walioamini wanaweza kubatizwa.

Ndipo akawaamuru wabatizwe

Inamaanisha kwamba Wayahudi wakristo ndio waliowabatiza Wamataifa siku hiyo.

wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo

"Kwa Jina la Yesu Kristo" Linaelezea kuwa sababu ya kubatizwa kwao ni kwa kumwamini Yesu Kristo.