forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
660 B
Markdown
37 lines
660 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Petro na Mitume na waumini ambao walikuwa pamoja na Yesu wakati akiwa hapa duniani.
|
|
|
|
# Katika nchi za Wayahudi
|
|
|
|
Inaelezea zaidi Yudea ya wakati huo.
|
|
|
|
# ambaye waliyemuua
|
|
|
|
"ambaye viongozi wa kiyahudi walimwua''
|
|
|
|
# Wakamtundika juu ya mti
|
|
|
|
Inamaanisha, "kumuwamba Yesu katika mti wa msalaba"
|
|
|
|
# Huyu mtu
|
|
|
|
"Huyu mtu Yesu"
|
|
|
|
# Mungu alimfufua
|
|
|
|
"Mungu alimfanya kuishi tena"
|
|
|
|
# siku ya tatu
|
|
|
|
"Siku ya tatu baada ya kufa kwake"
|
|
|
|
# kumpa kujulikana
|
|
|
|
"alimpa kujulikana na wengi"
|
|
|
|
# kutoka kwa wafu
|
|
|
|
"Kutoka miongoni mwa waliokwisha kufa" Linafafanua juu ya roho za watu waliokwisha kufa. Kurejea kutoka miongoni mwa hizo roho ni kuwa mzima tena.
|
|
|