sw_tn/act/10/39.md

660 B

Maelezo ya jumla

Petro na Mitume na waumini ambao walikuwa pamoja na Yesu wakati akiwa hapa duniani.

Katika nchi za Wayahudi

Inaelezea zaidi Yudea ya wakati huo.

ambaye waliyemuua

"ambaye viongozi wa kiyahudi walimwua''

Wakamtundika juu ya mti

Inamaanisha, "kumuwamba Yesu katika mti wa msalaba"

Huyu mtu

"Huyu mtu Yesu"

Mungu alimfufua

"Mungu alimfanya kuishi tena"

siku ya tatu

"Siku ya tatu baada ya kufa kwake"

kumpa kujulikana

"alimpa kujulikana na wengi"

kutoka kwa wafu

"Kutoka miongoni mwa waliokwisha kufa" Linafafanua juu ya roho za watu waliokwisha kufa. Kurejea kutoka miongoni mwa hizo roho ni kuwa mzima tena.