forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
607 B
Markdown
21 lines
607 B
Markdown
# Watu wako watakatifu
|
|
|
|
Neno "Watu watakatifu" linamaana ya Wakristo. "Watu wa Yerusalemu waliokwisha kumwamini Yesu"
|
|
|
|
# ana mamlaka kutoka kwa kuhani mkuu kumkamata kila mmoja
|
|
|
|
Inamaana Sauli amepewa nguvu na mamlaka na Kuhani Mkuu, lakini yalikuwa na mipaka kwani ilikuwa ni kwa Wayahudi tu.
|
|
|
|
# Yeye ni chombo teule kwangu
|
|
|
|
"chombo teule" ni hali ya kutengwa maalumu kwa ajuli ya huduma. "Nimemchagua yeye ili anitumikie.
|
|
|
|
# Kubeba jina langu
|
|
|
|
Hii ni hali ya kumuelezea na kuongelea kuhusu Yesu. ili anipeleke mimi kwa watu.
|
|
|
|
# Kwa ajili ya jina langu
|
|
|
|
Hii ni hali ya kuwaelezea watu kuhusu mimi (Yesu).
|
|
|