sw_tn/act/09/13.md

607 B

Watu wako watakatifu

Neno "Watu watakatifu" linamaana ya Wakristo. "Watu wa Yerusalemu waliokwisha kumwamini Yesu"

ana mamlaka kutoka kwa kuhani mkuu kumkamata kila mmoja

Inamaana Sauli amepewa nguvu na mamlaka na Kuhani Mkuu, lakini yalikuwa na mipaka kwani ilikuwa ni kwa Wayahudi tu.

Yeye ni chombo teule kwangu

"chombo teule" ni hali ya kutengwa maalumu kwa ajuli ya huduma. "Nimemchagua yeye ili anitumikie.

Kubeba jina langu

Hii ni hali ya kumuelezea na kuongelea kuhusu Yesu. ili anipeleke mimi kwa watu.

Kwa ajili ya jina langu

Hii ni hali ya kuwaelezea watu kuhusu mimi (Yesu).