sw_tn/act/09/08.md

287 B

alipofungua macho

Hii inamaanisha Sauli aliyafunga macho kwasababu ya mwanga ulikuwa mkali.

Hata asionne chochote

Sauli alikuwa kipofu.

hakuweza kuona kitu

"Alikuwa kipofu" au "hakuweza kuona chochote"

Hakuweza kula wala kunywa

"hakuweza kula wala kunywa hakuwa na njaa"