forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
681 B
Markdown
21 lines
681 B
Markdown
# Sogea karibu na gari hili
|
|
|
|
Filipo alifahamu kuwa ni muhimu kuwa karibu na mtu yule aliyepanda kwenye mkokoteni.
|
|
|
|
# akamsikia akisoma katika chuo cha nabii Isaya
|
|
|
|
Hiki ni kitabu cha Agano la Kale cha Nabii Isaya.
|
|
|
|
# Je unafahamu unachosoma?"
|
|
|
|
Mwethiopia alikuwa mtu mwenye akili na aliweza kusoma, lakini alikuwa na upungufu wa ufahamu wa kiroho. Filipo alimwulija, "Je! Unafahamu maana ya habari unayoisoma?
|
|
|
|
# Nitawezaje, isipokuwa mtu aniongoze kuielewa?"
|
|
|
|
Swali hili liliulizwa kusisitiza kuwa hakuweza kuelewa bila msaada. ''siwezi mpaka mtu aniongoze"
|
|
|
|
# Alimuomba filipo akae nae
|
|
|
|
Filipo alikubali kutembea naye akiwa chini ya barabara pamoja naye akiyafafanua maandiko.
|
|
|