sw_tn/act/08/01.md

973 B

Sentensi unganishi

Simlizi inamalizika kumhusu Stefano, kuanzia sura hii ya 8 simlizi inaanza kumtaja Sauli.

siku hiyo ndipo alipoanza... isipokuwa mitume.

Sehemu ya mstari huu wa 1 ni habari inayoeleza kuanza kwa mateso kwa watu wa njia ile baada ya kifo cha Stefano. Unaelezea sababu za Paulo kuanzisha mateso hayo kwa waumini.

Siku hizo

Hii inahusu siku ambayo Stefano aliuawa,

Waaminio wote walitawanyika

Hii ni inavumisha wengi au zaidi ya waamini wa Yerusalem waliyakimbia mateso.

Isipokuwa mitume

Inadhihirisha kwamba mitume walibaki Yerusalem ingawa hawakuyazoea hayo mateso makubwa

Watu wacha Mungu

"Watu wenye hofu ya Mungu" au "Watu waliomuogopa Mungu

Wakafanya maombolezo makubwa

"Wakalia sana ...juu yake"

Aliwaburuza wanaume na wanawake

Sauli aliwachukua kwa nguvu Wayahudi waamini na kuwatoa nje ya nyumba zao na kuwatupa gerezani.

Wanaume na wanawake

inaelezea juu wanaume na wanawake ambao waliokuwa wamemwamini Yesu.