sw_tn/act/07/38.md

654 B

Maelezo ya jumla

Mstari wa 40 ni nukuu kutoka katika vitabu vya sheria vya Musa.

Huyu ni miongoni mwa mtu ambaye alikuwa katika mkutano

"Huyu ni Musa mtu ambaye ni miongoni mwa Waisraeli.

Huyu ni mtu ambaye Mungu aliongea naye maneno yaliyo hai na kutupa sisi

"Huyu ni mtu ambaye Mungu aliongea naye neno lililo hai kutupa sisi"

Neno lililo hai

Maana sahihi ni 1) "ujumbe ambao uliopo" au 2) "maneno yaletayo uzima."

Walimsukuma mbali nao

Mfano huu unaonyesha kukataliwa kwa Musa, "walimkataa yeye kama kiongozi wao"

katika mioyo yao waligeukia Misri

"WAlikusudia kurejea tena Misri"

Wakati huo

"Walipoamua kurudi Misri"