forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
654 B
Markdown
29 lines
654 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mstari wa 40 ni nukuu kutoka katika vitabu vya sheria vya Musa.
|
||
|
|
||
|
# Huyu ni miongoni mwa mtu ambaye alikuwa katika mkutano
|
||
|
|
||
|
"Huyu ni Musa mtu ambaye ni miongoni mwa Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# Huyu ni mtu ambaye Mungu aliongea naye maneno yaliyo hai na kutupa sisi
|
||
|
|
||
|
"Huyu ni mtu ambaye Mungu aliongea naye neno lililo hai kutupa sisi"
|
||
|
|
||
|
# Neno lililo hai
|
||
|
|
||
|
Maana sahihi ni 1) "ujumbe ambao uliopo" au 2) "maneno yaletayo uzima."
|
||
|
|
||
|
# Walimsukuma mbali nao
|
||
|
|
||
|
Mfano huu unaonyesha kukataliwa kwa Musa, "walimkataa yeye kama kiongozi wao"
|
||
|
|
||
|
# katika mioyo yao waligeukia Misri
|
||
|
|
||
|
"WAlikusudia kurejea tena Misri"
|
||
|
|
||
|
# Wakati huo
|
||
|
|
||
|
"Walipoamua kurudi Misri"
|
||
|
|