sw_tn/act/04/26.md

483 B

Sentensi unganiishi:

Waumini wanakamilisha nukuu yao kutoka kwa mfalme Daudi katika zaburi walizozianza

Wafalme wa dunia wamejipanga pamoja, na watawala wamekusanyika kwa pamoja dhidi ya Bwana

Mistari hii miwili, Wafalme na Watawala kimsingi ni jambo moja kuonyesha unganiko la kufanya biidi katika kupinga kazi ya Mungu

wamekusanyika kwa pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya masihi wake

Waliunganisha majeshi yao pamoja kupigana vitani. Au kuwa kinyume na Masihi wa Mungu.