forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
483 B
Markdown
13 lines
483 B
Markdown
|
# Sentensi unganiishi:
|
||
|
|
||
|
Waumini wanakamilisha nukuu yao kutoka kwa mfalme Daudi katika zaburi walizozianza
|
||
|
|
||
|
# Wafalme wa dunia wamejipanga pamoja, na watawala wamekusanyika kwa pamoja dhidi ya Bwana
|
||
|
|
||
|
Mistari hii miwili, Wafalme na Watawala kimsingi ni jambo moja kuonyesha unganiko la kufanya biidi katika kupinga kazi ya Mungu
|
||
|
|
||
|
# wamekusanyika kwa pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya masihi wake
|
||
|
|
||
|
Waliunganisha majeshi yao pamoja kupigana vitani. Au kuwa kinyume na Masihi wa Mungu.
|
||
|
|