sw_tn/act/03/17.md

513 B

Sasa

Hapa Petro anageuza usikivu wa mkutano kutoka kwa kiwete na anaendelea kuwaambia moja kwa moja.

kwamba mlitenda katika ujinga

Maana inayowezekana 1) Hao watu hawakujua kuwa Yesu alikuwa Masihi au 2) Watu hawakujua maana ya kile walichokuwa wakifanya.

Mungu aliwaambia mapema kwa vinywa vya manabii wote

Manabii waliponena, ilikuwa kama Mungu mwenyewe aliyenena kwasababu aliwaambia nini cha kusema.

kwa mdomo wa manabii wote

Inamaanisha yale yote yaliyonenwa "kupitia manabii" na kuyaandika.