forked from WA-Catalog/sw_tn
513 B
513 B
Sasa
Hapa Petro anageuza usikivu wa mkutano kutoka kwa kiwete na anaendelea kuwaambia moja kwa moja.
kwamba mlitenda katika ujinga
Maana inayowezekana 1) Hao watu hawakujua kuwa Yesu alikuwa Masihi au 2) Watu hawakujua maana ya kile walichokuwa wakifanya.
Mungu aliwaambia mapema kwa vinywa vya manabii wote
Manabii waliponena, ilikuwa kama Mungu mwenyewe aliyenena kwasababu aliwaambia nini cha kusema.
kwa mdomo wa manabii wote
Inamaanisha yale yote yaliyonenwa "kupitia manabii" na kuyaandika.