forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
513 B
Markdown
17 lines
513 B
Markdown
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Hapa Petro anageuza usikivu wa mkutano kutoka kwa kiwete na anaendelea kuwaambia moja kwa moja.
|
||
|
|
||
|
# kwamba mlitenda katika ujinga
|
||
|
|
||
|
Maana inayowezekana 1) Hao watu hawakujua kuwa Yesu alikuwa Masihi au 2) Watu hawakujua maana ya kile walichokuwa wakifanya.
|
||
|
|
||
|
# Mungu aliwaambia mapema kwa vinywa vya manabii wote
|
||
|
|
||
|
Manabii waliponena, ilikuwa kama Mungu mwenyewe aliyenena kwasababu aliwaambia nini cha kusema.
|
||
|
|
||
|
# kwa mdomo wa manabii wote
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha yale yote yaliyonenwa "kupitia manabii" na kuyaandika.
|
||
|
|