sw_tn/act/03/15.md

381 B

Maelezo ya jumla

Neno "sisi" linawajumuisha Petro na Yohana.

Mfalme wa uzima

Neno hili linamtaja Yesu "Ni mmoja awapaye watu uzima wa milele au "Mtawala wa maisha"

Sasa

Neno hili lilitumika kuhamisha usikivu wa mkutano kwa yule kiwete

kwa imani katika jina lake

Kiwakilishi "Jina" ni jina la Yesu.

amempatia mtu huyu nguvu

"amemfanya mtu huyu nguvu ya kupona"