forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
381 B
Markdown
21 lines
381 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Neno "sisi" linawajumuisha Petro na Yohana.
|
||
|
|
||
|
# Mfalme wa uzima
|
||
|
|
||
|
Neno hili linamtaja Yesu "Ni mmoja awapaye watu uzima wa milele au "Mtawala wa maisha"
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Neno hili lilitumika kuhamisha usikivu wa mkutano kwa yule kiwete
|
||
|
|
||
|
# kwa imani katika jina lake
|
||
|
|
||
|
Kiwakilishi "Jina" ni jina la Yesu.
|
||
|
|
||
|
# amempatia mtu huyu nguvu
|
||
|
|
||
|
"amemfanya mtu huyu nguvu ya kupona"
|
||
|
|