|
# Wakatambua kwamba alikuwa ni yule mtu
|
|
|
|
Kila mmoja alishuhudia kuwa aliyeponywa ndiye alikuwa mtu yule.
|
|
|
|
# Lango la uzuri
|
|
|
|
Hili lilikuwa moja ya jina la milango ya kuingia kwenye eneo la hekalu.
|
|
|
|
# walijawa na mshangao na kustaajabu
|
|
|
|
Watu walishikwa na mshangao mkubwa.
|
|
|