forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
272 B
Markdown
13 lines
272 B
Markdown
|
# Wakatambua kwamba alikuwa ni yule mtu
|
||
|
|
||
|
Kila mmoja alishuhudia kuwa aliyeponywa ndiye alikuwa mtu yule.
|
||
|
|
||
|
# Lango la uzuri
|
||
|
|
||
|
Hili lilikuwa moja ya jina la milango ya kuingia kwenye eneo la hekalu.
|
||
|
|
||
|
# walijawa na mshangao na kustaajabu
|
||
|
|
||
|
Watu walishikwa na mshangao mkubwa.
|
||
|
|