sw_tn/act/02/46.md

465 B

waliendelea wakiwa na lengo moja

Waumini waliendelea kukutana pamoja, kwa kusudi moja.

walimega mkate kwenye nyumba zao

walishirikiana kula chakula chao katika nyumba zao na pia kula chakula cha Bwana kwa pamoja.

kwa furaha na unyenyekevu wa moyo

Hii inamaana bila kiburi, kwa furaha, bila choyo na bila kuangalia cheo au upendeleo.

wakiwa na kibali na watu wote

"Watu wote waliwakubali"

ambao walikuwa wakiokolewa

Ambao Bwana alikuwa akiwaokoa