forked from WA-Catalog/sw_tn
465 B
465 B
waliendelea wakiwa na lengo moja
Waumini waliendelea kukutana pamoja, kwa kusudi moja.
walimega mkate kwenye nyumba zao
walishirikiana kula chakula chao katika nyumba zao na pia kula chakula cha Bwana kwa pamoja.
kwa furaha na unyenyekevu wa moyo
Hii inamaana bila kiburi, kwa furaha, bila choyo na bila kuangalia cheo au upendeleo.
wakiwa na kibali na watu wote
"Watu wote waliwakubali"
ambao walikuwa wakiokolewa
Ambao Bwana alikuwa akiwaokoa