forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
465 B
Markdown
21 lines
465 B
Markdown
|
# waliendelea wakiwa na lengo moja
|
||
|
|
||
|
Waumini waliendelea kukutana pamoja, kwa kusudi moja.
|
||
|
|
||
|
# walimega mkate kwenye nyumba zao
|
||
|
|
||
|
walishirikiana kula chakula chao katika nyumba zao na pia kula chakula cha Bwana kwa pamoja.
|
||
|
|
||
|
# kwa furaha na unyenyekevu wa moyo
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana bila kiburi, kwa furaha, bila choyo na bila kuangalia cheo au upendeleo.
|
||
|
|
||
|
# wakiwa na kibali na watu wote
|
||
|
|
||
|
"Watu wote waliwakubali"
|
||
|
|
||
|
# ambao walikuwa wakiokolewa
|
||
|
|
||
|
Ambao Bwana alikuwa akiwaokoa
|
||
|
|