forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
621 B
Markdown
25 lines
621 B
Markdown
# Hofu ikaja juu ya kila nafsi
|
|
|
|
watu walijawa na hofu na kicho cha Mungu ndani yao
|
|
|
|
# maajabu mengi na ishara zikafanyika kupitia mitume
|
|
|
|
Mungu alifanya miujiza na ishara nyingi kupitia wanafunzi wake.
|
|
|
|
# wote walikuwa pamoja
|
|
|
|
Inaweza kuwa, "wote waliamini jambo hilo moja" au " waumini wote walioamini walikuwa pamona katika sehemu moja"
|
|
|
|
# walikuwa na vitu vyote kwa ushirikiano
|
|
|
|
"walitumia mali zao kwa kumgawia kila mmoja na mwenzake"
|
|
|
|
# mali walizo miliki
|
|
|
|
Mashamba na vitu vingine vilivyokuwa wanavimiliki.
|
|
|
|
# kugawanya kwa wote kulingana na hitaji la kila mmoja.
|
|
|
|
Kila mmoja aligawiwa kulingana na uhitaji wake.
|
|
|