sw_tn/act/02/43.md

621 B

Hofu ikaja juu ya kila nafsi

watu walijawa na hofu na kicho cha Mungu ndani yao

maajabu mengi na ishara zikafanyika kupitia mitume

Mungu alifanya miujiza na ishara nyingi kupitia wanafunzi wake.

wote walikuwa pamoja

Inaweza kuwa, "wote waliamini jambo hilo moja" au " waumini wote walioamini walikuwa pamona katika sehemu moja"

walikuwa na vitu vyote kwa ushirikiano

"walitumia mali zao kwa kumgawia kila mmoja na mwenzake"

mali walizo miliki

Mashamba na vitu vingine vilivyokuwa wanavimiliki.

kugawanya kwa wote kulingana na hitaji la kila mmoja.

Kila mmoja aligawiwa kulingana na uhitaji wake.