forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
611 B
Markdown
25 lines
611 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Petro anaendelea na hotuba yake aliyoianzisha kwa Wayahudi wanaomzunguka na kwa waumini wengine wa Yerusalemu.
|
|
|
|
# yeye alikufa na akazikwa
|
|
|
|
"He died and people buried him"
|
|
|
|
# kwamba ataweka mmoja katika uzao wake kwenye kiti cha enzi
|
|
|
|
"Mungu angemtuma mmoja wa uzao wa Daudi juu ya kiti cha enzi cha Daudi"
|
|
|
|
# Aliliona hili mapema
|
|
|
|
Mungu alijua hata kabla lilikuwa halijatokea.
|
|
|
|
# wala alikuwa hakuachwa kuzimu
|
|
|
|
Mungu hakumwacha Yesu kuzimu.
|
|
|
|
# wala mwili wake haukuoza.'
|
|
|
|
Mwili kuoza kunamaanisha kuteketea baada ya kifo. hivyo Mungu hakumwacha Yesu muda ambao hatA mwili wake uteketee.
|
|
|