forked from WA-Catalog/sw_tn
611 B
611 B
Sentensi unganishi
Petro anaendelea na hotuba yake aliyoianzisha kwa Wayahudi wanaomzunguka na kwa waumini wengine wa Yerusalemu.
yeye alikufa na akazikwa
"He died and people buried him"
kwamba ataweka mmoja katika uzao wake kwenye kiti cha enzi
"Mungu angemtuma mmoja wa uzao wa Daudi juu ya kiti cha enzi cha Daudi"
Aliliona hili mapema
Mungu alijua hata kabla lilikuwa halijatokea.
wala alikuwa hakuachwa kuzimu
Mungu hakumwacha Yesu kuzimu.
wala mwili wake haukuoza.'
Mwili kuoza kunamaanisha kuteketea baada ya kifo. hivyo Mungu hakumwacha Yesu muda ambao hatA mwili wake uteketee.