sw_tn/act/02/29.md

611 B

Sentensi unganishi

Petro anaendelea na hotuba yake aliyoianzisha kwa Wayahudi wanaomzunguka na kwa waumini wengine wa Yerusalemu.

yeye alikufa na akazikwa

"He died and people buried him"

kwamba ataweka mmoja katika uzao wake kwenye kiti cha enzi

"Mungu angemtuma mmoja wa uzao wa Daudi juu ya kiti cha enzi cha Daudi"

Aliliona hili mapema

Mungu alijua hata kabla lilikuwa halijatokea.

wala alikuwa hakuachwa kuzimu

Mungu hakumwacha Yesu kuzimu.

wala mwili wake haukuoza.'

Mwili kuoza kunamaanisha kuteketea baada ya kifo. hivyo Mungu hakumwacha Yesu muda ambao hatA mwili wake uteketee.