sw_tn/act/01/15.md

21 lines
573 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Tukio hili lilitukia wakati Petro na waumini wengine walikuwa pamoja katika chumba cha juu.
# Katika siku zile
Maneno haya yanaashiria mwanzo mpya wa historia. Yanaelezea kipindi baada ya Yesu kupaa na wakati wanafunzi wakiwa katika chumba cha juu wamekutanika kuomba.
# katikati ya ndugu
Neno "ndugu" Linaelezea ndugu waumini likiunganisha wanawake kwa wanaume.
# ilikuwa lazima kwamba maandiko yatimizwe
Yale mambo tunayoyasoma katika maandiko lazima yatimizwe
# kwa kinywa cha Daudi
Neno "kinywa" Linaelezea yale maneno aliyoyasema Daudi.