forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
573 B
Markdown
21 lines
573 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Tukio hili lilitukia wakati Petro na waumini wengine walikuwa pamoja katika chumba cha juu.
|
||
|
|
||
|
# Katika siku zile
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yanaashiria mwanzo mpya wa historia. Yanaelezea kipindi baada ya Yesu kupaa na wakati wanafunzi wakiwa katika chumba cha juu wamekutanika kuomba.
|
||
|
|
||
|
# katikati ya ndugu
|
||
|
|
||
|
Neno "ndugu" Linaelezea ndugu waumini likiunganisha wanawake kwa wanaume.
|
||
|
|
||
|
# ilikuwa lazima kwamba maandiko yatimizwe
|
||
|
|
||
|
Yale mambo tunayoyasoma katika maandiko lazima yatimizwe
|
||
|
|
||
|
# kwa kinywa cha Daudi
|
||
|
|
||
|
Neno "kinywa" Linaelezea yale maneno aliyoyasema Daudi.
|
||
|
|