forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
766 B
Markdown
37 lines
766 B
Markdown
# Sentensi unganishi.
|
|
|
|
Paulo aliendelea kumkumbusha Timotheo awe mwaminifu na kwamba Paulo yuko tayari kufa
|
|
|
|
# Agizo lenye uzito
|
|
|
|
"Agizo la muhimu"
|
|
|
|
# Mbele za Mungu na ya Kristo Yesu
|
|
|
|
"katika uwepo wa Mungu na Kristo Yesu"
|
|
|
|
# walio hai na wafu
|
|
|
|
"walio hai na wafu" imetumika hapa kuwaelezea watu wote. "Watu wote waliowai kuishi"
|
|
|
|
# kwa sababu ya kufunuliwa kwake na Ufalme wake
|
|
|
|
"Ufalme" inasimama kuonesha utawala wa Kristo kama Mfalme. "Atakaporejea kutawala kama mfalme"
|
|
|
|
# Neno
|
|
|
|
"Neno" linamaanisha ujumbe. "Ujumbe kuhusu Kristo"
|
|
|
|
# Usiofaa
|
|
|
|
"muda usiofaa"
|
|
|
|
# Waambie watu dhambi zao
|
|
|
|
Kuwaambia watu makosa yao" au "kuwaambia watu kuwa walichofanya ni makosa"
|
|
|
|
# himiza, kwa uvumilivu wote na mafundisho
|
|
|
|
"himiza na kufundisha watu na kuwa mvumilivu juu yao"
|
|
|