sw_tn/2ti/04/01.md

766 B

Sentensi unganishi.

Paulo aliendelea kumkumbusha Timotheo awe mwaminifu na kwamba Paulo yuko tayari kufa

Agizo lenye uzito

"Agizo la muhimu"

Mbele za Mungu na ya Kristo Yesu

"katika uwepo wa Mungu na Kristo Yesu"

walio hai na wafu

"walio hai na wafu" imetumika hapa kuwaelezea watu wote. "Watu wote waliowai kuishi"

kwa sababu ya kufunuliwa kwake na Ufalme wake

"Ufalme" inasimama kuonesha utawala wa Kristo kama Mfalme. "Atakaporejea kutawala kama mfalme"

Neno

"Neno" linamaanisha ujumbe. "Ujumbe kuhusu Kristo"

Usiofaa

"muda usiofaa"

Waambie watu dhambi zao

Kuwaambia watu makosa yao" au "kuwaambia watu kuwa walichofanya ni makosa"

himiza, kwa uvumilivu wote na mafundisho

"himiza na kufundisha watu na kuwa mvumilivu juu yao"