# Sentensi unganishi. Paulo aliendelea kumkumbusha Timotheo awe mwaminifu na kwamba Paulo yuko tayari kufa # Agizo lenye uzito "Agizo la muhimu" # Mbele za Mungu na ya Kristo Yesu "katika uwepo wa Mungu na Kristo Yesu" # walio hai na wafu "walio hai na wafu" imetumika hapa kuwaelezea watu wote. "Watu wote waliowai kuishi" # kwa sababu ya kufunuliwa kwake na Ufalme wake "Ufalme" inasimama kuonesha utawala wa Kristo kama Mfalme. "Atakaporejea kutawala kama mfalme" # Neno "Neno" linamaanisha ujumbe. "Ujumbe kuhusu Kristo" # Usiofaa "muda usiofaa" # Waambie watu dhambi zao Kuwaambia watu makosa yao" au "kuwaambia watu kuwa walichofanya ni makosa" # himiza, kwa uvumilivu wote na mafundisho "himiza na kufundisha watu na kuwa mvumilivu juu yao"