forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
478 B
Markdown
17 lines
478 B
Markdown
# Kwa sababu hii
|
|
|
|
" Kwa sababu watu hawapendi kweli"
|
|
|
|
# Mungu anawatumia kazi yenye uongo ili waamini uongo
|
|
|
|
Paulo anaongea kuwa Mungu anaruhusu kitu kutokea kwa watu kana kwamba anawatumia. AT: "Mungu anaruhusu mtu wa kuasi awadanganye"
|
|
|
|
# wote watahukumiwa
|
|
|
|
Hii inaaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT:" Mungu atawahukumu wote"
|
|
|
|
# wale ambao hawakuamini kweli badala yake wakajifurahisha katika udhalimu
|
|
|
|
"wale ambao walifurahia udhalimu kwa sababu hawakuiamini kweli"
|
|
|