sw_tn/2th/02/08.md

822 B

ndipo mwenye kuasi atakapofunuliwa

Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: Halafu Mungu atamruhusu mwenye kuasi ili kujionyesha mwenyewe.

kwa pumzi ya kinywa chake

Hapa neno "pumzi" linamaanisha nguvu ya Mungu. AT: "kwa nguvu ya neno lake lilotamkwa"

Ufunuo wa kuja kwake utamfanya kuwa sio chochote

Wakati Yesu atakaporudi duniani na kujionyesha, atamshinda yule mwenye kuasi.

kwa nguvu zote, ishara, na maajabu ya uongo

"kwa nguvu zote, ishara, na maajabu ya uongo"

na uongo wote wenye udharimu

Mtu huyu ataumia kila aina ya ubaya kuwadanganyawatu ili wamwamini yeye badala ya Mungu.

Mambo haya yatakuwepo kwa wale wanaopotea

Huyu mtu atapewa nguvu na shetani na atadanganya kila mtu ambaye hakuamini katika Yesu.

wanaopotea

Hapa "potea" lina wazo la milele au uangamivu wa milele