forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
822 B
Markdown
29 lines
822 B
Markdown
|
# ndipo mwenye kuasi atakapofunuliwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: Halafu Mungu atamruhusu mwenye kuasi ili kujionyesha mwenyewe.
|
||
|
|
||
|
# kwa pumzi ya kinywa chake
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "pumzi" linamaanisha nguvu ya Mungu. AT: "kwa nguvu ya neno lake lilotamkwa"
|
||
|
|
||
|
# Ufunuo wa kuja kwake utamfanya kuwa sio chochote
|
||
|
|
||
|
Wakati Yesu atakaporudi duniani na kujionyesha, atamshinda yule mwenye kuasi.
|
||
|
|
||
|
# kwa nguvu zote, ishara, na maajabu ya uongo
|
||
|
|
||
|
"kwa nguvu zote, ishara, na maajabu ya uongo"
|
||
|
|
||
|
# na uongo wote wenye udharimu
|
||
|
|
||
|
Mtu huyu ataumia kila aina ya ubaya kuwadanganyawatu ili wamwamini yeye badala ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Mambo haya yatakuwepo kwa wale wanaopotea
|
||
|
|
||
|
Huyu mtu atapewa nguvu na shetani na atadanganya kila mtu ambaye hakuamini katika Yesu.
|
||
|
|
||
|
# wanaopotea
|
||
|
|
||
|
Hapa "potea" lina wazo la milele au uangamivu wa milele
|
||
|
|