forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
649 B
Markdown
29 lines
649 B
Markdown
# alimwokoa Ltu mtu wa haki
|
|
|
|
Mungu alimwokoa Lutu aliyeishi maisha ya tabia njema
|
|
|
|
# akitesa nafsi yake kwa ajili ya yale alyosikia na kuyaona
|
|
|
|
Lutu aliendelea kuteseka na kuhrasiwa na tabia za anasa za wenyeji wa Sodoma na Gomora
|
|
|
|
# tabia chafu za wsiofuata sheria
|
|
|
|
"anasa na tabia inayoharibika ya watu waliovunja sheria ya Mungu"
|
|
|
|
# mtu wa haki
|
|
|
|
Hii inamaanisha Lutu mtu wa haki
|
|
|
|
# watu wa Mungu
|
|
|
|
"watu wanaomtii Mungu"
|
|
|
|
# alikuwa akitesa roho yake
|
|
|
|
Aliusumbua utu wake wa ndani
|
|
|
|
# jinsi ya kuwavumilia waovu kwa ajil ya hukumu skatika siku ya mwisho
|
|
|
|
Watu wasio haki hawataiepuka hukumu ya Mungu. Watakapokufa watakataliwa mpaka siku ya hukumu
|
|
|