forked from WA-Catalog/sw_tn
649 B
649 B
alimwokoa Ltu mtu wa haki
Mungu alimwokoa Lutu aliyeishi maisha ya tabia njema
akitesa nafsi yake kwa ajili ya yale alyosikia na kuyaona
Lutu aliendelea kuteseka na kuhrasiwa na tabia za anasa za wenyeji wa Sodoma na Gomora
tabia chafu za wsiofuata sheria
"anasa na tabia inayoharibika ya watu waliovunja sheria ya Mungu"
mtu wa haki
Hii inamaanisha Lutu mtu wa haki
watu wa Mungu
"watu wanaomtii Mungu"
alikuwa akitesa roho yake
Aliusumbua utu wake wa ndani
jinsi ya kuwavumilia waovu kwa ajil ya hukumu skatika siku ya mwisho
Watu wasio haki hawataiepuka hukumu ya Mungu. Watakapokufa watakataliwa mpaka siku ya hukumu