sw_tn/2pe/02/01.md

537 B

Manabi wa uongo walikuja kwa Israeil, na walimu a uongo watakuja kwenu

Kama ile manabii wa uongo walivyokuja wakiidanganya Isreli, vivyo hivyo walimu wa uongo watakuja wakidanganya uongo juu ya Kristo

Ukengeufu

Haya ni maoni yaliyo kinyume na mafunisho ya Kristo na ya Mitume

Bwana aliyewanunua

Yesu ndiye Bwana aliyelipa kwa ajili ya dhambi za watu wote kwa njia ya kifo chake, na kuzikwa kwake na ufufuo.

nja za aibu

Neno "zao" linawakilisha manabii na walimu wa uongo" jinsi matendo yao yalivyo ya zinaa iliyokidhiri.