forked from WA-Catalog/sw_tn
537 B
537 B
Manabi wa uongo walikuja kwa Israeil, na walimu a uongo watakuja kwenu
Kama ile manabii wa uongo walivyokuja wakiidanganya Isreli, vivyo hivyo walimu wa uongo watakuja wakidanganya uongo juu ya Kristo
Ukengeufu
Haya ni maoni yaliyo kinyume na mafunisho ya Kristo na ya Mitume
Bwana aliyewanunua
Yesu ndiye Bwana aliyelipa kwa ajili ya dhambi za watu wote kwa njia ya kifo chake, na kuzikwa kwake na ufufuo.
nja za aibu
Neno "zao" linawakilisha manabii na walimu wa uongo" jinsi matendo yao yalivyo ya zinaa iliyokidhiri.