forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
537 B
Markdown
17 lines
537 B
Markdown
|
# Manabi wa uongo walikuja kwa Israeil, na walimu a uongo watakuja kwenu
|
||
|
|
||
|
Kama ile manabii wa uongo walivyokuja wakiidanganya Isreli, vivyo hivyo walimu wa uongo watakuja wakidanganya uongo juu ya Kristo
|
||
|
|
||
|
# Ukengeufu
|
||
|
|
||
|
Haya ni maoni yaliyo kinyume na mafunisho ya Kristo na ya Mitume
|
||
|
|
||
|
# Bwana aliyewanunua
|
||
|
|
||
|
Yesu ndiye Bwana aliyelipa kwa ajili ya dhambi za watu wote kwa njia ya kifo chake, na kuzikwa kwake na ufufuo.
|
||
|
|
||
|
# nja za aibu
|
||
|
|
||
|
Neno "zao" linawakilisha manabii na walimu wa uongo" jinsi matendo yao yalivyo ya zinaa iliyokidhiri.
|
||
|
|