forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
486 B
Markdown
17 lines
486 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Paulo anahamisha somo kutoa katika utoaji kwenda kwenye mamlaka yake ya kufundisha kama anavyofanya.
|
|
|
|
# kwa unyenyekevu na upole wa Kristo
|
|
|
|
Neno " uvimilivu" na : upole" ni majina yaliyofupishwa, na yanawea kusemwa hivi: " Mimi ni mnyenyekevu na mpole kama nifanyavyo hivyo, kwa sababu Kristo amenifanya kuwa hivyo"
|
|
|
|
# Anayesadikimkuwa
|
|
|
|
"anayefikiri kuwa"
|
|
|
|
# tunaishi kwa jinsi ya mwili.
|
|
|
|
Neno "mwili" ni neno linalosimama kuelezea asili ya dhambi ya mwanadamu.
|
|
|