sw_tn/2co/10/01.md

17 lines
486 B
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi Unganishi
Paulo anahamisha somo kutoa katika utoaji kwenda kwenye mamlaka yake ya kufundisha kama anavyofanya.
# kwa unyenyekevu na upole wa Kristo
Neno " uvimilivu" na : upole" ni majina yaliyofupishwa, na yanawea kusemwa hivi: " Mimi ni mnyenyekevu na mpole kama nifanyavyo hivyo, kwa sababu Kristo amenifanya kuwa hivyo"
# Anayesadikimkuwa
"anayefikiri kuwa"
# tunaishi kwa jinsi ya mwili.
Neno "mwili" ni neno linalosimama kuelezea asili ya dhambi ya mwanadamu.