sw_tn/1ti/05/19.md

440 B

usipokee mashitaka

Paulo anaongea juu ya mashitaka kama vitu ambavyo vinaweza kushikika au kupokelewa na watu

mbili au tatu

"angalau mbili" au "mbili au zaidi"

wenye dhambi

hii inahusu mtu yeyote kufanya jambo lolote ambalo halimtii au yasiyompendeza Mungu, hata mambo ambayo watu wengine hawayajui.

mbele ya watu wote

"ambapo kila mtu anaweza kuona"

ili wengine wawe na hofu

"ili wengine waweze kuogopa kufanya dhambi"