forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
440 B
Markdown
21 lines
440 B
Markdown
|
# usipokee mashitaka
|
||
|
|
||
|
Paulo anaongea juu ya mashitaka kama vitu ambavyo vinaweza kushikika au kupokelewa na watu
|
||
|
|
||
|
# mbili au tatu
|
||
|
|
||
|
"angalau mbili" au "mbili au zaidi"
|
||
|
|
||
|
# wenye dhambi
|
||
|
|
||
|
hii inahusu mtu yeyote kufanya jambo lolote ambalo halimtii au yasiyompendeza Mungu, hata mambo ambayo watu wengine hawayajui.
|
||
|
|
||
|
# mbele ya watu wote
|
||
|
|
||
|
"ambapo kila mtu anaweza kuona"
|
||
|
|
||
|
# ili wengine wawe na hofu
|
||
|
|
||
|
"ili wengine waweze kuogopa kufanya dhambi"
|
||
|
|