forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
678 B
Markdown
29 lines
678 B
Markdown
# Sentensi uanganishi:
|
|
|
|
Paulo tena anazungumzia jinsi wazee (maaskofu) wanapaswa kutunzwa na kisha kumpa Timotheo maelezo binafsi.
|
|
|
|
# watambue wazee wanaoongoza vyema
|
|
|
|
"Ninyi waumini wote mnapaswa kufikiri kama mnastahili"
|
|
|
|
# Heshima mara mbili
|
|
|
|
Maana inawezekana ni 1) "ya heshima na malipo" au 2) "heshima zaidi kuliko wengine wapokeavyo"
|
|
|
|
# wale wanaofanya kazi na neno na katika kufundisha
|
|
|
|
"wale wanaohubiri na kufundisha neno la Mungu"
|
|
|
|
# kufunga
|
|
|
|
kifaa kianachowekwa kwenye pua na mdomo wa mnyama ili kumzuia kula wakati anafanya kazi.
|
|
|
|
# kupura nafaka
|
|
|
|
Hii ni njia ya kutenganisha nafaka na makapi kwa kutumia mkokoteni unaovutwa na ng'ombe
|
|
|
|
# anastahili
|
|
|
|
"inastahili"
|
|
|