sw_tn/1ti/05/17.md

678 B

Sentensi uanganishi:

Paulo tena anazungumzia jinsi wazee (maaskofu) wanapaswa kutunzwa na kisha kumpa Timotheo maelezo binafsi.

watambue wazee wanaoongoza vyema

"Ninyi waumini wote mnapaswa kufikiri kama mnastahili"

Heshima mara mbili

Maana inawezekana ni 1) "ya heshima na malipo" au 2) "heshima zaidi kuliko wengine wapokeavyo"

wale wanaofanya kazi na neno na katika kufundisha

"wale wanaohubiri na kufundisha neno la Mungu"

kufunga

kifaa kianachowekwa kwenye pua na mdomo wa mnyama ili kumzuia kula wakati anafanya kazi.

kupura nafaka

Hii ni njia ya kutenganisha nafaka na makapi kwa kutumia mkokoteni unaovutwa na ng'ombe

anastahili

"inastahili"